2 Samuel 18:19

Daudi Aomboleza Kifo Cha Absalomu

19 aBasi Ahimaasi mwana wa Sadoki akasema, “Niruhusu mimi nikimbie na kumpelekea mfalme habari kwamba Bwana amemwokoa mfalme kutoka mikononi mwa adui zake.”

Copyright information for SwhNEN